Get free web hosting, free domain, free website/blog

Web hosting

Wednesday, October 12, 2016

UKWELI KUHUSU ALI KIBA KUZIMIWA MIC AKIWA JUKWAANI NCHINI KENYA NI HUU

Hivi juzi kati mnamo mwa tarehe wa 8 mwezi huu kulifanyika bonge la show moja la kufa mtu ambapo lilifanyika nchini kenya
Huku likijumuisha wasanii lukuki ambao wengine wana tikisa dunia kwa sasa
Kulikuwa wasanii kutoka nchi tofauti akiwemo chris brown kutoka Marekani
Wizkid kutoka Nigeria pia alikuwa vannesa mdee na pamoja ali kiba kutoka Tanzania
Chris Brown ni msanii mkubwa kutoka marekani ambae anatikisa Afrika na ulimwengu kwa ujumla msanii huyu ngali kutoka marekani anatikisa kibao kama new flame, paradise, grass ain't greener, without you, with you, zero, liquor, na nyingine nyingi ambapo kwa hivi kibao kinacho wateka mashabiki zaidi grass ain't greener.
Wizkid ni msanii nyota kutoka Nigeria ambapo wiki kadhaa zilizo alikuwepo Tanzania kwa ajili show ya fiesta 2016 iliyo fanyika jijini mwanza na mashabiki wa mwanza waliinjoi show hiyo kwa kweli
Pia wizkid anatamba vibao vyaka kama azonto, show you my money, holla at your boy, in my bed, lakini kwa hivi wizkid anatikisa na kibao chake cha kukata na shoka kile cha final (baba nlai).
Tukija kwa vannesa mdee kama ijulikanavyo vannesa mdee ni msanii mzurii kutoka Tanzania na anafanya vizuri kwnye soko la mziki wa bongo na Afrika na dunia kwa ujumla pia vannesa anatamba na vibao vyake nguli kama closer, nobody but me, niloge, comer over, never ever pia vannesa mdee anatikisa kibao chake cha juu ambacho kamshrikisha mpenzi wake juma jux.
Tukija kwa ali kiba kama ijulikane ali kiba ni msanii mwenye washabiki wengi sana Tanzania pamoja na East Afrika huku star huyo akizidi kushika kasi baada ya kutoa kibao chake cha aje ambapo ndio kinatikisa kwa hivi sasa na kama ijulikanavyo ali kiba ana mvutano mkubwa wa kimuziki ambae pia nguli katika soko la muziki ambae ni diamond platnumz.
Licha ya show hiyo iliyo fanyika mombasa nchini Kenya kuwa show iliyo vunja rekodi kwa kuingiza mapato mengi kwa kuudhuliwa na watu wengi kuliko kawaida lakini kilitokea kituko cha mwaka ambapo ilipo fika zamu ya msanii kutoka Tanzania ambae ni ali kiba ambapo alipo panda tu jukwaani na kuimba nyimbo mbili ,tatu gafla alizimiwa maiki katika hali ya ya sinto fahamu na kumfanya ali kiba kushuka huku akiwa kicha chini na kupandishwa chris brown kutoka marekani.
Baada ya tukio kumkuta ali kiba alisikika akisema nanukuu "nilimuona boss wake na diamond sallam back stage kipindi nashuka kwa maana hiyo sallam alikuw back stage kipindi mimi napafomu lakini najiuliza mwenyewe sallam alifwata nini back stage kipindi mimi napafomu na ikiwa na ina fahamika mimi na wao hatuna maelewano mazuri unadhani watu watachukuliaje yeye kukaa back stage ikiwa mimi napafomu yeye ni nani mpaka akae back stage yangu kama angetaka kuangalia show si angekaa V.I.P aangalie show kwa nini aje back stage" mwisho wa kunukuuu
Ali kiba alisikika akisema haya kwenye kipind cha mambo mseto ambacho kinarushwa na chanel ya citizen
Kwa maana hiyo basi ali kiba anaamini sallam kukaa back stage wakati yeye ana perform ni moja ya sababu iliyo mpelekea yeye kuzimiwa maiki
Lakini ukweli kuhusu ni huu hapa show ilianza usiku mida ya saa moja ambapo baada ya wasanii kadhaa kutoka nchini kenya kutimbuiza ilitakiwa apande vannesa mdee akifwatiawa na ali kiba alafu na wizkid alafu mwisho alitakiwa mzee mzima Chris Brown apande ili kufunga show hali ya taharuki ilitokea ambapo ilipo fika zamu ya ali kiba alisubiriwa takribani dakika 30 nzima kupanda jukwaani lakini ali kiba hakutokea jukwaan na ndipo ratiba ikaamua kubadilishwa akapanda wizkid badala ya ali kiba akapafomu na alipo maliza ndipo ali kiba ali kando mwa jukwaa na ndipo akapanda yeye lakin kituko cha mwaka kilitokea pale ali kiba alipo panda nakuanza kupiga show dakika kadhaa baada ya show gafla alizimiwa mic au kipaza huku sababu ikiwa haijulikani ni nini
Mwandamizi wa show anasema ali kiba alitumia mda mwingi kwenye kujiandaa hvyo kumpelekea mpka kuchelew kupanda jukwaani na wakaamua kumpndisha wizkid badala yake
Lakini pindi ali kiba alipo kuwa yupo jukwaani mda wa chri brown ulikuwa umefika kwa ajili ya kuperform hivyo walishindwa kumshusha ali kiba jukwaani kama mbwa kwani ni msanii mkubwa pia East Africa na Africa kwa jumla na badala yake walimuamulu dj kuzima mic (kipaza sauti) ili ali kiba ashuke na apande Chris Brown
Taarifa zinasema Chris Brown akuwa akuwa na mda wa kupoteza kwani alikuwa anatakiwa aondoke na ndege ya saa 9 usiku siku hiyo hiyo kwa hiyo kama wangeli endelea kumuweka ali kiba jukwaan basii wange mchelewesha Chris Brown na baadae inge wagarimu pesa nyingi kumkodishia ndege nyingine kurudi kwao marekani

Thursday, September 22, 2016

(Official lyrics) Diamond Platnumz Feat Raymond- Salome (na maana yake)


DESCRIPTION:

Song: Salome

Artists: Diamond Platnumz Feat Ray Vanny

Originated From: Maria From: Saida Karoli

Label: Wasafi Classic Baby(WCB).

Country: TANZANIA

Video By: NicorouxFrom: South Africa

Written By: Diamond Platinumz&Ray Vanny.


Produced By: Lizer Classic

Released: September 18th 2016

Video made: 10th April 2016.

Video Location: Dar Es Salaam, Tanzania.

Video Queen: Hamisa Mobeto.

Contacts: +255713700400 +255715333346 Email: Diamondplatnumz@gmail.com sallam.sharaff@gmail.com babutale44@gmail.com

Buy On Itunes: https://geo.itunes.apple.com/us/album...

Stream On Spotify: http://open.spotify.com/album/2HvsOe6...

Stream On Youtube: https://youtu.be/_bPjsDcPHks

Follow Diamond Platnumz On Social Medias: twitter: @diamondplatnumz Facebook page: https://www.facebook.com/DiamondPlatn... Follow on G+: https://www.google.com/+TheDiamondpla... Follow on Instagram: http://www.instagram.com/diamondplatnumz

LYRICS

[Intro]

WASAFIIII

[Verse – 1 by:Raymond]

Kioo hakidanganyi mamaa, umejipodoa umepodoka.

Mwendo na shepu vyote mwanana, Mimi suruari yanidondoka,

Tukimbizane nini salome wangu? Iyo michezo ya jogoo,

Mbona watizama chini salome wangu Ukimuona jongoo,

Inama kidogo shika magoti Nimesimama kama ngongoti,

Mtoto jojo sio roboti Chumbani bingili bingili sambasoti.

[Chorus By: Diamond]

Unanitekenyaga ukinyonga salome, (Unanitekenyaga ukinyonga)

Unatikenyaga ukinyonga kweli, (Unanitekenyaga ukinyonga, Aaaha!)

Hoera makulu vane, hoera ngambe

Hoera na Zari, hoera ngambe

[[Verse – 2 By: Diamond Platinumz]

Utamu kolea aprokoto, Ting’ari ting’ari ndani kwa moto Nitamnyongea, msokoto.

Niteme sumu kali kama koboko

Eeeh Mapenzi yananipa shida, Shida maama,

Ni donda lisilokuwa na tiba,Tiba bwana.

Usije baby kanicharanga, Kanichambua moyo kama karanga.

Mie baby kwenye msambwanda, huwa siendagi ngenge ni nganganga.

[Chorus By: Diamond PLatnumz]

Unanitekenyaga ukinyonga salome, (Unanitekenyaga ukinyonga)

Unatikenyaga ukinyonga kweli, (Unanitekenyaga ukinyonga, Aaaha!)

Hoera makulu vane, hoera ngambe

Hoera na Zari, hoera ngambe

[Verse-03 By: Ray Vanny]

Uhm yeeh, Mwenzako nyang'anyang'a, Uhm mie binzari we ndo nyanya.

Baby kwang'aru, Nisimamie kama kangaruu.

Ibane kangwaru,Babu Juma mupige kwakwaru.

(Kwakwarukaa eeeenh)


[Bridge By: Diamond Platinumz]

Hasa chambua kama karanga sasa, (Chambua kama karanga)

Ichambue kama karanga Salome, (Chambua kama karanga)

Hasa washa, washa

Moto washa, washa

Songa, Songa

Ugali Song, songa

mpaka chini, haa chini

mpaka chini, haa chini

Wenye wivu wajinyonge leo, (wenye wivu wajinyongee)

Wenye wivu wajinyonge sasa, (wenye wivu wajinyongee)

Wenye wivu wajinyonge kweli, (wenye wivu wajinyongee)

oonh, Wenye wivu wajinyonge sasa, (wenye wivu wajinyongee)

Wanakodoa kodo,wanakodoa (macho kodo)

Wanakodoa kodo,wanakodoa (wale kodo)

Wanakodoa kodo,wanakodoa (ukinyonga)

Wanakodoa kodo,wanakodoa (Aa ukisonga)

Wanakodoa kodo,wanakodoa.

Asante kwa kupitia ukurasa wetu ya Mtukutu, na karibia tena kwa mara nyingine. ningependa kujibu yale maswali ambayo huwasumbuaga mashabiki wengi ndani ya Afrika Ya Mashariki kuhusiana na wimbo huu pamoja na video hii kwa kupitia historia fupi ifuatayo ya kuhusu wimbo huu......

Historia fupi kuhusu wimbo huu.

Salome ni wimbo wa mapenzi ulioimbwa kwa lugha ya kiswahili na kihaya(lugha inayopatikana kaskazini mwa Tanzania pamoja na kusini mwa Uganda) kwa mbali, wimbo huu uliimbwa na wasanii wawili maarufu kutoka nchini Tanzania waitwao "Diamond Platnumz" na "Ray Vanny" ikiwa na vionjo vya asili kutoka katika kabila la kihaya na ulitengenezwa kwa kutumia vionjo vinavyopatikana katika wimbo wa kihaya kutoka kwa msanii wa kike wa KiTanzania mwenye asili ya Kihaya "Saida Karoli" katika wimbo wake uitwao "Maria"

.

Wazo la kutengeneza wimbo huu lilipatikana ndani ya studio ya Wasafi Records ndani ya Dar Es Salaam, Tanzania na lilitolewa na Diamond Platnumz na hivyo kuamua kuwasiliana na Saida Karoli kibiashara zaidi. Diamond na Saida wakawekeana makubaliano ya kumlipa asilimia 25 ya mapato ya wimbo huu Saida na asilimia 75 kwenda kwa kundi la WCB.

Lizer Classic, producer pendwa ndani ya Wasafi Records ndipo alipopatiwa kazi ya kutengeneza mdundo special kwa nyimbo, pamoja na kumix,kudesign,kumaster, kulevel vocal zitakazoingizwa. Diamond akamualika Raymond(Ray Vanny) kama msanii aliyeshirikishwa.

Lyrics za wimbo huu ziliandikwa kwa ushirikiano baina ya Diamond&Ray Vanny, huku mgawanyiko wa verse ukiwa tofauti kidogo. RAY VANNY akapatiwa verse ya kwanza na ya tatu, huku Diamond akiwa amechukua verse ya pili, chorus, na bridge. Lyrics ya wimbo huu imejikita zaidi kwenye pendo motomoto, tendo la ndoa, uzuri wa mwenzi wake. Lyrics hii imesimamia kweli zaidi jinsi mtu anapopagawisha na umbile, utundu,na mahaba ya mpenzi wake.

Location ya video ya wimbo huu ilikuwa nchini Tanzania, huku Fursa ya kutengeneza video ya wimbo hii ilimdondokea director mkubwa nchini South Africa na Nigeria lakini bado si maarufu nchini Tanzania na Afrika ya mashariki kwa ujumla, namzungumzia director mzawa wa South Afrika "Nicoroux", tumezoea kuona video nyingi za Wcb kufanya na GodFather kutoka South Afrika na location yake kuwa South Afrika huku video queens wakiwa ni light skin au wasichana weupe, kwanini ndani ya video hii location ni hapa hapa Tanzania, director mpya, na video queens ni wa hapa hapa nyumbani na ni weusi???? Wazo la kufanya video hii nyumbani ni kwaajili ya kuuenzi utamaduni wa hapanyumbani tukiwa nyumbani kwetu pia hapakuwa na hitaji kubwa la kutafuta location South Afrika japo ilikuwa inawezekana.... Pia wcb ilihitaji kubadilisha upepo na kujaribu kuwapa ugali madirector wengine wenye vipaji ili nao wapate fursa ya kujitangaza zaid nchini Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla ndipo zari la mtende likamdondokea Nicoroux akiwa ni moja kati ya waongozaji wanaokuja juu katika tasnia hii ya music nchini South Afrika. Pia moja ya sababu ya kuwachukua video queens wa hapahapa nyumbani ni moja ya njia ya kuwapa fursa watu wa nyumbani ili nao waweze kutusua zaidi kimataifa. Wazo kuu juu ya scene, watu, n madhali ilikuwa niushirikiano mzuri uliokuwepo kipindi cha utengenezaji wa script baina ya Diamond na Nicoroux.

Watu waliopata nafasi ya kuuza sura katika video ya nyimbo hii ni pamoja na Diamond Platinumz, Hamisa Mobeto, Rich Mavoko, Ray Vanny, Asma Platnumz, Harmonize, Jackline Wolper, Aunt Ezekiel, Mosee Iyobo, Wasafi Classic Dancers, Jack Platnumz, Tunda, na wengine wengi. Swali ni moja, kwanini Hamisa Mobeto na sio Zari Hassani??? na hivi karibuni kupitia radio mbao ilisikika kwamba Hamisa Mobeto anatoka Baba Tiffah, au ndo walikuwa wapo katika utengenezaji wa hii video mwezi wa nne mwaka huu alafu team Zarimond wakazusha yao? au ni kweli kwamba wawili hawa wapo pamoja mana tumeona wengi katika video hii wakiwa na wapenzi wao wa ukweli, je hawa wawili nao vepee?? mh, hayo sio kazi yangu ila nikipata ubuyu zaidi nitakuja kukujuza juu ya hili.

Mapokeo ya nyimbo hii nimakubwa sana tena tofauti na yale ya wimbo uliopita "Diamond feat P-square: Kidogo" , watu wengi waonyesha kuridhishwa na kazi hii na kumpongeza Diamond&Ray Vanny kwa kazi bora isiyochosha akili. Kupitia mitandaon nyimbo hii imeweka record ya kuwa wimbo uliotazamwa zaidi kutoka sept 18th 2016 mpaka sasa huku ikijizolea views 3million kwa mda wa siku tatu. na pia kuwa most shared song ndani ya instagram huku fans tofauti wakionekana kupost vipande vya lyrics vya wimbo huu. pia ndugu pia hawapo nyuma, Asma Platinumz alimpongeza Diamond kwa kusema "Moja ya sababu inayofanyaga video za WCB ziwe nzuri na kutokana na yeye mwenyewe DIAMOND kuwa ndiye mastermind wa kila kitu kitakachofanyika. "

Asante kwa kuwa nami mwanzo mpaka mwisho wa habarin hii, natumaini nitakuwa nimeyajibu maswali yenu yaliyokuwa yakiwasumbua kuhusu nyimbo hii kwa asilimia 75, toa coment yako hapa chini au swali lako au kama una pendekezo, wazo, chaguo nasi tutakutimizia mahitaji yako kama yatakuwa ndani ya uwezo wetu. share na marafiki zako, na nakutakia siku njema yenye furaha. ASANTE.


Sunday, September 18, 2016

(Official lyrics&Video) Diamond Feat P-Square


Artists; Diamond Platnumz Feat P-Square.
Song; Kidogo.
Writers; Diamond, P-Square.
Genre; Bongo Fleva, African Beats.
Audio Made In; Lagos, Nigeria.
Audio Created By; Square Records.
Produced By; Shirko From Tanzania, V-Teck from Nigeria.
Date Of  Production; 10TH JANUARY,2016.
Video Shot In; Johanessburg, South Africa.
Video Production Date; 24Th April 2016.
Video Production By; GodFather Production.
Country; Tanzania.
Published On;  July 12, 2016.
Bookings and etc Contact;
+255713700400 +255715333346 Email Diamondplatnumz@gmail.com Cc sallam.sharaff.gmail.com babutale44@gmail.com.
Follow Diamond on twitter: @diamondplatnumz
Facebook page: https://www.facebook.com/DiamondPlatn...
Follow on G+: https://www.google.com/+TheDiamondpla...
Follow on Instagram: http://www.instagram.com/diamondplatnumz
Buy On Itunes;  http://bit.ly/DiamondPlatnumzKidogo
>>>> YouTube;  4,768,111 views, 29,611 Likes, 3,254 Dislikes. <<<<<<<

[Lyrics]
Kidogo dogo (aah kidogo kile) Kidogo dogo (aah kidogo kile),
 Kidogo dogo (aah kidogo kile)
Kidogo dogo,
 [Chorus – Diamond Platnumz & P-Square}
 She gat me , Dancing (eeh)
 Party (eeh), Fiesta (eeh),
 Forever aah (Ooh yeaaaaah)
 Yani kabisa mi ananimalizaga,
Dancing (eeh), Party (eeh),
 Fiesta (eeh) ,Forever aah ,
Ooh yeaaaaah, Yani kabisa mi ananimalizaga.

 Kidogo dogo (aah kidogo kile) ,
Kidogo dogo (basi nipe kidogo mama),
 Kidogo dogo (aah kidogo kile) ,
Kidogo dogo (nipe tenaa),
Kidogo dogo (aah kidogo kile),
Kidogo dogo (basi nipe kidogo mama),
Kidogo dogo (aah kidogo kile) ,
Kidogo dogo ,

 [Verse 1 – P-Square]
 Oya come make we gum body (ooh yeah),
 You and I we become body (ooh yeah),
 Girl as you dey see me so (ooh yeah) ,
 I Will never let you go tai (ooh yeah),

 Mpaka napata midadii (ooh yeah),
 Wapi unataka mikadii (ooh yeah,
Aah kote mi nipo (ooh yeah),
 Say my beautiful (ooh yeah),
 I'm in love (I'm in loooove),
 I'm gonna give you what your need ,
Lemme give you what you need I'm in love (I'm in loooove), 
I'm gonna give you what your need ,
Lemme give you what you need ,

[Hook – Diamond Platnumz & P- Square]
She gat me, Dancing (eeh), 
Party eeh Fiesta (eeh) ,Forever aah (Ooh yeaaaaah),
Yani kabisa mi ananimalizaga, 
Dancing (eeh), Party (eeh),
Fiesta (eeh), Forever aah (Ooh yeaaaaah) ,
Yani kabisa mi ananimalizaga,

 Kidogo dogo (aah kidogo kile) ,
Kidogo dogo (basi nipe kidogo mama) ,
Kidogo dogo (aah kidogo kile) ,
Kidogo dogo (nipe tenaa) ,
Kidogo dogo (aah kidogo kile) ,
Kidogo dogo (basi nipe kidogo mama) ,
Kidogo dogo (aah kidogo kile) ,
Kidogo dogo ,

[Verse 2 – Diamond Platnumz]
Wasije kwa ngongongo, kerewa (haa),
Minjonjo ukalewa (haa),
Mwishoni ukanogewa (hehehe),
Na tunda nikamegewa (eeeh),

Chululi si ndondondo chelewa (haa),
Ni uwongo elewa (hee),
Chonde chonde mamy (hehehe),
Utanikoseaa  (Oya) ,

come make we gum body (ooh yeah) ,
You and I we become body (ooh yeah),
Girl as you dey see me so (ooh yeah),
I Will never let you go tai (ooh yeah),

Mpaka napata midadii (ooh yeah),
Wapi unataka mikadii (ooh yeah),
Aah kote mi nipo (ooh yeah),
Say my beautiful (ooh yeah),
I'm in love (I'm in loooove),
I'm gonna give you what your need,
Lemme give you what you need I'm in love,
(I'm in loooove),
I'm gonna give you what your need,
Lemme give you what you need ,

[Hook – Diamond Platnumz & P-Square]
She gat me Dancing eeh Party (eeh),
Fiesta eeh, Forever aah (Ooh yeaaaaah),
Yani kabisa mi ananimalizaga Dancing eeh,

Party (eeh), Fiesta (eeh),
Forever (aah),
(Ooh yeaaaaah),
Yani kabisa mi ananimalizaga,

Kidogo dogo (eeeeh), Kidogo dogo (eeeeh),
Kidogo dogo (kidogo dogo mamaaa),
Kidogo dogo (unanichangaya kabisaa),
Kidogo dogo (usiki kucha na na kukicha),
Kidogo dogo (eeeeh),
Kidogo dogo (aah kirangaraa),
Kidogo dogo.

[Verse 3 – P-Square]
Tonight, i'm gonna give you all the love you deserve, (eeeieenh),
Nobody can take it awaaaay ,
My baby you look so fine (so fine),
My african girl so beautiful (so beautiful) I'm in love,
You're in love So in love,
yeaah I'm in love,
You're in love So in love,
Yani kabisa ananimalizaga,

Kidogo dogo (aah kidogo kile),
Kidogo dogo (aah kidogo kile),
Kidogo dogo (aah kidogo kile),
Kidogo dogo (aah kidogo kile),
Kidogo dogo (aah kidogo kile),
Kidogo dogo (aah kidogo kile),
Kidogo dogo (aah kidogo kile),
Kidogo dogo (aah kidogo mama),
Kidogo dogo (ooh yeah),
Kidogo dogo (ooh yeah),
Kidogo dogo (ooh yeah),
Kidogo dogo (ooh yeah),
Kidogo dogo (ooh yeah),
Kidogo dogo (ooh yeah),
Kidogo dogo (ooh yeah),
Kidogo dogo (ooh yeah),
(WASAFI!!!)
 
Kwa kupata lyrics tamu za nyimbo za kibongo usikose kutembelea  blog yetu ya Mtukutu Kenny.

Friday, September 16, 2016

Skendo ya Diamond,Zari na Huddah Monroe kuendelea kuvuma huku Wasafi Classic Kukinukisha ndan ya Burundi September 24, 2016

Kundi zima la Wasafi Classic Chini ya the big boss Diamond Platinumz pamoja na majembe yake matatu Harmonize, Ray Vanny, na Rich Mavoko wanatarajiwa kukinukisha ndani ya Burundi siku ya tarehe 24 mwezi 09 mwaka 2016 kwa show kali zitakazo tikisa miji yote ya Burundi.
diamond platinumz,ray vanny, harmonize na rich mavoko wakifanyiwa interview katika kituo cha radio.
(Kwenye picha ni kundi zima la WCB wakiwa katika kituo kimojawapo cha Radio hapa nchini.)

Kabla ya kuelekea Burundi tarehe 24, kundi hilo la Wasafi Classic lilipitia kutumbuiza nchini Kenya na kuacha historia iliyowafanya mashabiki wasisahau kuhusu show hiyo.
Diamond alipokelewa kwa shangwe la kutosha lilimfanya aone kama ni jambo kubwa la kihistoria katika maisha yake.
Lakini kuna tetesi tetesi zilizo enea mtaani kupitia radio mbao na blog za udaku za nchini Kenya kuhusu kitendo kilichotokea usiku wa siku ya show hiyo nchini Kenya ambacho kinasemekana kwamba ni nusu kihatarishe mapenzi baina ya Zari The Boss Lady na Diamond Platinumz, je ni kitendo kipi hicho??? Ngoja nikupe ubuyu.

Soma hapa (Na nukuu kutoka katika moja ya blog ya udaku kutoka nchini Kenya iitwayo TUKO.CO.KE ambayo nayo ilitoa taarifa hiyo.)
"ZARI HASSAN AMSHAMBULIA HUDDAH, BAADA YA HUDDAH KUMPATIA MAMBO MOTOMOTO DIAMOND PLATINUMZ KWA SIRI"

"Kumekuwa na maneno mengi yalizoua vitendawili katika vichwa vya mashabiki wengi kuwa Diamond Platnumz hakulala peke yake kipindi hichi alichotembelea Meru,Kenya kwaajili ya Tamasha.
- Vyanzo vya karibu vinasema kwamba mwanamziki huyo(Diamond Platnumz) alilala na rafiki kipenzi wa mke wake(Mama Tiffah) yani na maanisha Huddah Monroe, mfanyabiashara na mashuhuri kwa kujihusisha na mambo mengi ya kijamii nchini Kenya na Duniani kwa ujumla."

 Chanzo hicho kiliendelea kwa kusema kuwa, Huddah Monroe alimkaribisha kwa ukarimu mwanamziki huyo nchini Kenya kwa kuuendeleza urafiki wao wa kifamilia hadi kitandani, blog nyingi nchini Kenya na Tanzania zimekuwa zikiripoti skendo hii kubwa iliyozikuta familia hizi mbili maarufu ndani ya East Africa.
picha ya Diamond platnumz akila denda na huddah na kusababisha ugomvi na Zari.
(.Picha ya mwanadada Huddah Monroe, anayedaiwa kutoka na Diamond Platnumz.)

Kabla ya hayo yote kutokea, Huddah na Zari Hassan walikuwa ni marafiki wakubwa na imeripotiwa mara nyingi familia hizo wamekuwa wakialikana na kupata pamoja chakula cha ijioni ndani ya State House, Tegeta, Dar Es Salaam, Tanzania.
Na hata mwaka 2015 pale ambapo Zari alipotembelea Kenya kwa ajili ya Grand-All White Party ndani ya Skyluxx, alikuwa bega kwa bega na Huddah Monroe kuanzia maandalizi mpaka mwisho wa party hiyo.
Zari alianza kuingiwa na wasiwasi kuendana na mienendo ya rafiki yake huyo japo hakuwa na uhakika wa kile kinachofanyika nyuma ya pazia.

Wiki Iliyopita  mwanadada Zari The Boss Lady aliingia kwenye vita ya maneno na rafikiye Huddah Monroe kupitia mtandao wa Snapchat na kusababisha watu wengi kugundua tatizo lililopo kati yao na kuacha watu midomo wazi huku wengi wakiwa hawajafurahishwa na kitendo hicho alichokifanya Baba Tiffah cha kuwamix marafiki hao kwa tamaa za mwili wake.
Kila mmoja alikuwa akipost maneno makali kuhusu bwana wao huyo huku kila mmoja akimshambulia mwenzake kwamba yeye ndo mmiliki halali wa bwana huyo.
HUDDAH "“When you think your man is yours kumbe (yet) he is ours. And I ate and dined with both of you. Having kids with someone to tie him down doesn’t mean he won’t leave. The little boy is public property, you order him like pizza. Don’t hate the player or the game, hate yourself, Madam!” Huddah ranted on Snapchat.
 Naye Zari alijibu kombola hilo kwa kupost picha akiwa na mmewe Diamond Platnumz a.k.a Baba Tiffah kwa caption kaaali, check hapa.
“Watu na bae zetu… nyaku nyakus can’t even post their own. Told you, if he can’t claim you in public, don’t give him the goods in private. You know what that means right and I bet you know where that leaves you. Tag your bae and wish him or her a good night. #ToWhomItMayConcern.” Zari alipost status hiyo."
**********Mwisho Wa Kunukuu*********
Inaonyesha wazi kuwa marafiki hao si kitu tena, mana Zari hapendi urafiki wa kinafki.
na kama misemo ya wahenga isemavyo "Cheza na akili lakini usicheze na mpenzi wangu"
Diamond mpaka sasa bado hajaweka wazi kuhusu taarifa hizo na kama inavyojulikana kwamba Zari na Diamond ni baba yoyoo na mama yoyoo wa mtoto mmoja (princess Tiffah) na mwingine nusu ambaye bado yupo tumboni na anatarajiwa kuzaliwa hivi karibuni, sasa wewe Huddah vepee??? mbona wataka kutia chumvi kinyama cha watu???
Taarifa za kutoka kwa marafiki wakaribu wa Huddah zinasema kwamba Huddah ana mpenzi wake japokuwa amekuwa akipenda kuendelea kuonekana single na huwa hapendi kumuonesha mpenzi. mh, haya????!!!!!!

Ndugu Wasomaji tutaendelea kuwa-update kuhusu jambo hili mpaka tuujue mwisho wake. Karibu tena siku nyingine.
Umelichukuliaje jambo hili???? Hebu tupe feedback yako hapo chini kwa kutoa comment yako/mawazo yako.
na usisahau kusubscribe ili uwe unapata updates kupitia email yake kila siku.. karibu tena.

shilole na nuhu mziwanda warudisha penzi kama mwanzo

Kama wahenga wasemavyo siku zote mavi ya kale hayanuki au kuna ule msemo mwengine unao sema ndege wapendanao huruka pamoja ndio ilivyo kuwa kwa hawa wawili kujidhiirisha na kuacha midomo ya watu wazi.
Hii imejidhiirisha kuwa hawa wawili wana upendo wa kweli ni baada ya kuwa kwenye gari moja wakipo wanaelekea tabora kwa ajili ya show ya FIESTA
Wawili hawa waliachana miezi kadhaa iliyo pita kwa kile kinacho nuhu mziwanda alichoka uganda la ndizi alichoka umariooo
nuhu mziwanda akifunguka kwa kusema maisha ya kuelewa na mwanamke si mazurii na amepitia changamoto nyingii alipokuwa na shilole ikiwa kuzalilishwa kwa kupigwa makofi kama mtoto tena mbele
kunyimwa uhuru wa kujiachia na watu zake wa karibu alipokuwa akihitaji na ilikuwa ikimbidi mda mwingi kukaa nyumbani asa nyakati za usikuu
baada ya yote nuhu mziwanda alichoshwa na mambo yote haya hivyo akaamua kujichekecha kuanza life lake livyakee.
hata hivyo ia siku zote mungu hamtupii mja wake ndio ilivyo kuwa kwa nuhu mziwanda kwani alipo achana na shilole alipata management nzuri kwani alipokelewa na pettie man wakuache na kuwa manager wake na kusimamaia kazi zote za kimuziki.
na hii ilimpa muhu mziwanda wakati murii kwani aliweza kutoa ngo,a yake ya JIKESHUPA  ni ambayo ilikuwa ikizingumzia wakati mgumu alio pitia akiwa na shilole na kusema ukwelii ngoma hii ilimuweka nuhu mziwanda kwenyeb nafasi nzuri kimuziki kwami ilikuwa moja ya ngoma pendwa na watu wengii
Lakini licha ya hii ngoma kufanya vizurii ilitengeneza uhasama mkubwaa na ex wake huyo shilole kwani kulikuwa na maneneo ya vitishiano kati ya shilole na nuhu mziwanda pamoja na alie kuwa  video queen kwenye ngoma hii
Lakini yote kwa yote yameonekana kuisha baada ya jupeana maneno ya mahaba wakiwa kwenye tour basii la fiesta na baadae kuamishia mapenzi kwenye mtandao wa instagram baada ya kila mmoja kumpost mwenzie na kuandikan ujumbe mzito ulio jaa mahaba tele
Hivyo hii inadhiirisha kuwa hawa wawili wamerudiana

KWA HABARI ZAIDI KUHUSU HAWA WAWILI USIKOSE KUTEMBELEA BLOG YANGU KILA SIKU 



Toa maoni Yako Kuhusu Wawili hawa kupitia hapa katika ukurasa wetu.